Jeri Muro anadai kwa timu kubwa kama yanga ambayo kila
mwaka wanafikiria tu ubingwa ni lazima wajue namna ya kutafuta matokeo kwa
maana ya points.
Anasema tumewaona makocha wa ligi kubwa dunia wanaweza
kupata matokeo katika mechi kubwa
Ni ngumu sana kushinda kila mechi lakini pia ni
vigumu sana kupata point kila mechi.
Yanga wamecheza vizuri na wamestahili kupata point
katika mchezo wao wa leo mkoani singida
Na nafikiri mwisho wa ligi kombe litakuwa jangwani
japo najua watani ni wagumu kuelewa maana hawajui kusoma nyakati.

0 comments:
Post a Comment