• Latest News

    Saturday, November 4, 2017

    PAPY AKISEPA NA KIJIJI CHA SINGIDA UNITED


    FULL TIME SGD UTD 0-0 YNG 
    Mchezo wa ligi kuu ya Vodacom umemalizika kwa bingwa mtetezi Yanga kugawana point moja na mgeni wa Vpl Singida United huko singida katika uwanja wa Namfua
    Baada ya miaka 13 ligu kuu ya Vodacom imerudishwa tena Namfua kama uwanja wa nyumbani kwa timu ya singida yenye makao makuu yake mkoani hapo,leo 4/11/2017 mechi kati ya yanga vs singida ndo mechi ya kwanza kuchezwa Namfua baada ya kukosa nafasi hiyo kwa takribani mlongo moja.

    Singida united wamecheza vizuri sana na hata kutengeneza nafasi nyingi zaid ya wapinzani wao Yanga.




    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: PAPY AKISEPA NA KIJIJI CHA SINGIDA UNITED Rating: 5 Reviewed By: Mr Mtinangi
    Scroll to Top